Текст песни MwanaFA feat. Maua Sama - Hata Sielewi
Просмотров: 1
0 чел. считают текст песни верным
0 чел. считают текст песни неверным
0 чел. считают текст песни верным
0 чел. считают текст песни неверным
На этой странице находится текст песни MwanaFA feat. Maua Sama - Hata Sielewi, а также перевод песни и видео или клип.
|
Faaalsafaa Falsafa Hommie Samaa Are you listening? Bonge la mtoto/bonge la zigo/ Naamini sioti coz naipenda hii ndoto/ Sitoi boko/na naamini hayuko soko/ Ntamvisha pete leo leo/ Sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video/ Ananikaanga roho/ananisaga moyo/ Sipo sawa akili imevurugwa nayo/ Nilikuwa poa tu kabla hatujakutana/ Gangster kama mimi hakuna/ Hana wasiwasi anatembea kama hataki,anajivuuta/na kila hatua ina nukta/ Kiuno cha nyigu/rangi ya kinugu/ Nashangaa maujuzi ya Mungu/ Hakuna kovu hakuna sugu/ Maswali bila ya majibu/ So unafanya nionekane chizi/ Hata sielewi nini la kufanya/ Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/ Hata sielewi naona nyota mamaa/ Where you coming from?/ Hata Sielewi/Sielewi/ Where you coming from?/ Hata Sielewi/Sielewi/ Sielew Sielewi Sielewi Eeh,Eeh Sielewi Sielewi Eeh,Eeeh Sielewi lugha nyingine/ Macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine/ Huyu ntakopa ntaazima/ila lazima/ Ninyooshe mji mzima/ Acha moyo unibebe unipeleke unapotaka/ Ntarudi siku ukitaka/ Im all in,Im fallin’/ Maskio yataniziba akiniita darling/ Moyo unanienda mbio,naisoma namba/ Mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba/ Hana chale hana shanga/ Mimacho imentoka ile kishamba/ Sina hakika ni chiicha au ganja za zamani/ Ila ana siifa za kuitwa mwandani/ Tuchangie shuka,tuchangie majina/ Nimshike mkono niende nae dunia nzima/ So unafanya nionekane chizi/ Hata sielewi nini la kufanya/ Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/ Hata sielewi naona nyota mamaa/ Where you coming from?/ Hata Sielewi/Sielewi/ Where you coming from?/ Hata Sielewi/Sielewi/ Umetokea wapi kwani?/ Na umetumwa na nani?/ Umekuja na uganga wa wapi?/ Nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni/ Sielewi Sielewi Eeh,Eeh Sielewi Sielewi Eeiiih,Eeeh So unafanya nionekane chizi/ Hata sielewi nini la kufanya/ Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/ Hata sielewi naona nyota mamaa/ Where you coming from?/ Hata Sielewi/Sielewi/ Where you coming from?/ Hata Sielewi/Sielewi/ Hata Sielewi naona nyota mamaa Hata Sielewi naona nyota mamaa |
|
