• А
  • Б
  • В
  • Г
  • Д
  • Е
  • Ж
  • З
  • И
  • К
  • Л
  • М
  • Н
  • О
  • П
  • Р
  • С
  • Т
  • У
  • Ф
  • Х
  • Ц
  • Ч
  • Ш
  • Э
  • Ю
  • Я
  • A
  • B
  • C
  • D
  • E
  • F
  • G
  • H
  • I
  • J
  • K
  • L
  • M
  • N
  • O
  • P
  • Q
  • R
  • S
  • T
  • U
  • V
  • W
  • X
  • Y
  • Z
  • #
  • Текст песни MwanaFA feat. Maua Sama - Hata Sielewi

    Просмотров: 1
    0 чел. считают текст песни верным
    0 чел. считают текст песни неверным
    На этой странице находится текст песни MwanaFA feat. Maua Sama - Hata Sielewi, а также перевод песни и видео или клип.
    Faaalsafaa
    Falsafa Hommie
    Samaa
    Are you listening?
    Bonge la mtoto/bonge la zigo/
    Naamini sioti coz naipenda hii ndoto/
    Sitoi boko/na naamini hayuko soko/
    Ntamvisha pete leo leo/
    Sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video/
    Ananikaanga roho/ananisaga moyo/
    Sipo sawa akili imevurugwa nayo/
    Nilikuwa poa tu kabla hatujakutana/
    Gangster kama mimi hakuna/
    Hana wasiwasi anatembea kama hataki,anajivuuta/na kila hatua ina nukta/
    Kiuno cha nyigu/rangi ya kinugu/
    Nashangaa maujuzi ya Mungu/
    Hakuna kovu hakuna sugu/
    Maswali bila ya majibu/
    So unafanya nionekane chizi/
    Hata sielewi nini la kufanya/
    Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/
    Hata sielewi naona nyota mamaa/
    Where you coming from?/
    Hata Sielewi/Sielewi/
    Where you coming from?/
    Hata Sielewi/Sielewi/
    Sielew
    Sielewi Sielewi Eeh,Eeh
    Sielewi Sielewi Eeh,Eeeh
    Sielewi lugha nyingine/
    Macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine/
    Huyu ntakopa ntaazima/ila lazima/
    Ninyooshe mji mzima/
    Acha moyo unibebe unipeleke unapotaka/
    Ntarudi siku ukitaka/
    Im all in,Im fallin’/
    Maskio yataniziba akiniita darling/
    Moyo unanienda mbio,naisoma namba/
    Mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba/
    Hana chale hana shanga/
    Mimacho imentoka ile kishamba/
    Sina hakika ni chiicha au ganja za zamani/
    Ila ana siifa za kuitwa mwandani/
    Tuchangie shuka,tuchangie majina/
    Nimshike mkono niende nae dunia nzima/
    So unafanya nionekane chizi/
    Hata sielewi nini la kufanya/
    Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/
    Hata sielewi naona nyota mamaa/
    Where you coming from?/
    Hata Sielewi/Sielewi/
    Where you coming from?/
    Hata Sielewi/Sielewi/
    Umetokea wapi kwani?/
    Na umetumwa na nani?/
    Umekuja na uganga wa wapi?/
    Nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni/
    Sielewi Sielewi Eeh,Eeh
    Sielewi Sielewi Eeiiih,Eeeh
    So unafanya nionekane chizi/
    Hata sielewi nini la kufanya/
    Akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/
    Hata sielewi naona nyota mamaa/
    Where you coming from?/
    Hata Sielewi/Sielewi/
    Where you coming from?/
    Hata Sielewi/Sielewi/
    Hata Sielewi naona nyota mamaa
    Hata Sielewi naona nyota mamaa
    Опрос: Верный ли текст песни?
    Да Нет